BREAKING NEWS: BUNGE LASITISHWA KWA MDA DODOMA KISA KAULI HII ALIYOITOA SUGU. SOMA HAPA

Muda mfupi uliopita spika wa bunge, Anna Makinda amelazimika kusitisha shughuli za bunge mwanzoni tu mwa hotuba ya kambi rasmi ya upinzani iliyokuwa ikisomwa na waziri kivuli wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Joseph Mbilinyi aka Sugu.


Kauli kwenye hotuba hiyo iliyobabisha spika wa bunge asitishe shughuli za leo hadi jioni ilisema, 

“Tanzania imegeuka chini ya usimamizi wa wizara ya serikali hii ya CCM kuwa taifa linaloteka nyara wanahabari, kuwatesa, kuwangoa kucha na meno, kuwatoboa macho, kuwamwagia tindikali na hata kuwaua.”





ASANTE KWA KUPATA HUDUMA ZETU,TUNAKUOMBA BOFYA LIKE KUUNGANA NASI FACEBOOK

KWA WALE MASHABIKI WA YANGA, DOWNLOAD WIMBO HUU MPYA KWA AJILI YA KUJIPONGEZA NA USHINDI

 
wimbo huu ni kwa wale wote wanaojijua ni mashabiki wa yanga, pia na kwa wale mashabiki feki wa simba wote mnakaribishwa kudownload wimbo huu, kupitia gadget hzi hapa chini

ASANTE KWA KUPATA HUDUMA ZETU,TUNAKUOMBA BOFYA LIKE KUUNGANA NASI FACEBOOK

DOWNLOAD WIMBO MPYA WA H BABA - FUNGA ZIPU


ASANTE KWA KUPATA HUDUMA ZETU,TUNAKUOMBA BOFYA LIKE KUUNGANA NASI FACEBOOK

Ofaa....Ofaaaaa......TENGENEZEWA BLOG KAMA HII www.thechoicetz.com KWA TSH.30,OOO TUU. Kwa MAWASILIANO. call 0714 804739

Ofaa....Ofaaaaa......TENGENEZEWA BLOG KAMA HII www.thechoicetz.com KWA TSH.30,OOO TUU. Kwa MAWASILIANO. call 0714 804739

ASANTE KWA KUPATA HUDUMA ZETU,TUNAKUOMBA BOFYA LIKE KUUNGANA NASI FACEBOOK

ANGALIA PICHA ZA MH:ZITTO KABWE ALIVYOFUNIKA LEO TABORA


Embedded image permalinkEmbedded image permalink

ASANTE KWA KUPATA HUDUMA ZETU,TUNAKUOMBA BOFYA LIKE KUUNGANA NASI FACEBOOK

LEJENDARI DAVID BECKHAM: AAGA KWA USHINDI NA MACHOZI JUU PARIS!


Proud: David Beckham was joined by his three sons with the Ligue 1 trophy after helping PSG to victory
SIFA KUBWA: David Beckham aliungana na watoto wake kushangilia ubingwa ligi ya Ufaransa ambapo amewasaidia PSG kutwaa ndoo hiyo.
Up you go: After the final whistle, Beckham was flung into the air by his team-mates Baada ya kipenga cha mwisho, wachezaji wa PSG walikuwa wanamrusha Beckham juu

ASANTE KWA KUPATA HUDUMA ZETU,TUNAKUOMBA BOFYA LIKE KUUNGANA NASI FACEBOOK

ANGALIA PICHA ZA DIAMOND, NEY WA MITEGO WAFANYA KUFURU DAR LIVE.


Diamond Platnumz akiwapa hi mashabiki. 
Ney wa Mitego akiwarusha wapenzi wa burudani.
Nyomi iliyoitikia shoo hiyo.

ASANTE KWA KUPATA HUDUMA ZETU,TUNAKUOMBA BOFYA LIKE KUUNGANA NASI FACEBOOK

FFU KUTOKA MBEYA KUWASILI MJINI IRINGA WAKATI WOWOTE KUANZIA SASA


Habari  ambazo zimetua  hivi punde katika mtandao huu  zinadai kuwa msafara  wa askari  wa FFU  pamoja na gari la zimamoto  kutoka  jiji la Mbeya  upo njiani  kuja  mjini Iringa  kuongeza nguvu  zaidi .


ASANTE KWA KUPATA HUDUMA ZETU,TUNAKUOMBA BOFYA LIKE KUUNGANA NASI FACEBOOK

MBUNGE WA CHADEMA ALIYEONGOZA VURUGU LEO ASWEKWA RUMANDE

BREAKING NEWS!! MBUNGE MSIGWA AKAMATWA,KISA
 KUWATETEA RAIA WAKE:

Serikali ya Tanzania inayoongozwa na CCM inastahili kuingia katika rekodi ya Serikali za kidikiteta duniani kwa kuwanyanyasa raia wake,hasa wanaoonekana kukataa chama Tawala yaani CCM.Wamachinga Iringa mida hii wanapigwa mabomu kana kwamba ni digidigi kstika nchi yao.Serikali imewawezesha kiuchumi na kuwapa eneo stahili ambalo ni rafiki kwao kabla ya kuwatimua tena kwa Mabomu kama majambazi?CCM mwogopeni hata Mungu kwa mnavyowanyanyasa Watanzania wenzenu,kumbuka huo udikiteta mnaoutumia kwa binadamu wenzenu malipo ni duniani,kama ni jimbo mlishapoteza na kamwe halitarudi kwenu.Msigwa kukamatwa ndio mnamwongezea umaarufu,MUNGU yupo naye.Toka lini giza na Nuru vikawa pamoja????NEVER!! SHAME UPON YOU!!!
HABARI TOKA IRINGA ZINASEMA AMEKAMATWA NA POLISI NA KUKWEKWA NDANI KWA SABABU YA KUCHOCHEA VURUGU ZA MASHINGA MJINI IRINGA MUDA MFUPI ULIOPITA!! STAY TUNED!!


ASANTE KWA KUPATA HUDUMA ZETU,TUNAKUOMBA BOFYA LIKE KUUNGANA NASI FACEBOOK

MBUNGE MSIGWA ATINGA ENEO LA VURUGU ATOWEKA KIAINA





 mbunge  wa  jimbo la Iringa mjini mchungaji Peter Msigwa akiwasili  eneo la vurugu kabla  ya kuanza kwa  vurugu  hizo 

ASANTE KWA KUPATA HUDUMA ZETU,TUNAKUOMBA BOFYA LIKE KUUNGANA NASI FACEBOOK

ANGALIA PICHA WAMACHINGWA WALIVYOPIGWA MABOMU YA MACHOZI IRINGA


 Polisi  wakipita  eneo la Mashine  tatu asubuhi  hii

 Abiria  na  wapiga  debe  stendi kuu  wakinawa maji baada ya  kupigwa mabomu na kumwagiwa maji ya kuwasha  na askari  wa FFU leo

 Mmiliki  wa mtandao huu mzee wa matukio  daima akinawa maji baada ya  kupigwa  bomu la machozi




 Hali  ikiendelea  kuwa  tete  kwa machinga  kufunga barabara  kuu  ya  Iringa  Dodoma na ile ya mashine  tatu 

Ni Machafuko  Iringa  hivi  leo














ASANTE KWA KUPATA HUDUMA ZETU,TUNAKUOMBA BOFYA LIKE KUUNGANA NASI FACEBOOK

ANGALIA PICHA TUKIO ZIMA ----YANGA IKI ITANDIKA SIMBA 2-0

Wachezaji wa Yanga wakishangilia huku wakiwa na Kombe la Ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara walilokabidhiwa baada ya kuwabwaga watani wao wa jadi Simba mabao 2-0 kwenye Uwanja wa Taifa[/caption]Timu ya Yanga jana iliwachapa watani wao wa jadi, Simba SC 2-0. Mojawapo ya matukio: Mwamuzi wa Mechi hiyo alishonwa nyuzi 3, na kulazwa baada ya kugongwa na mchezaji Kavumbagu wa Yanga wakati wa alipokwenda kuamulia ugomvi. Tukio hilo lilotokea uwanjani katika dakika za nyongeza (92). Zifuatazo ni picha za matukio ya mechi hiyo:
Mwamuzi Martine Saanya wa mechi ya watani wa jadi Yanga na Simba, akiwa chini baada ya kugongana kwa bahati mbaya na mchezaji Kavumbagu wa Yanga wakati wa alipokwenda kuamulia ugomvi.
Mwamuzi Martine Saanya wa mechi ya watani wa jadi Yanga na Simba, akiwa chini baada ya kugongana kwa bahati mbaya na mchezaji Kavumbagu wa Yanga wakati wa alipokwenda kuamulia ugomvi.

Shabiki wa Yanga akipelekwa kupewa huduma ya kwanza baada ya kuzimia wakati mchezo ukiendelea
Shabiki wa Yanga akipelekwa kupewa huduma ya kwanza baada ya kuzimia wakati mchezo ukiendelea


ASANTE KWA KUPATA HUDUMA ZETU,TUNAKUOMBA BOFYA LIKE KUUNGANA NASI FACEBOOK

Ney wa Mitego Kuitwa Baba, na huyu ndo Mama Kijacho wake


So much is happening in the Bongo Flava scene!! TID anataka kuoa, Nurah anatarajia kufunga ndoa June 8 na sasa Nay wa Mitego naye anategemea kuitwa baba, basi raha tupu!!

Kupitia Instagram Nay aka True Boy ambaye hivi karibuni amekuwa dhahabu kwenye

ASANTE KWA KUPATA HUDUMA ZETU,TUNAKUOMBA BOFYA LIKE KUUNGANA NASI FACEBOOK

Mbunge Halima Mdee Azipinga Tuhuma za kuwa ni Msagaji

Kupitia season mpya ya Clouds Fm, ndani ya so so fresh na fetty, Mh Halima Mdee jana amefunguka juu ya swali aliloulizwa kuhusu story zilizosambaa kuwa anashiriki mapenzi ya jinsia moja.
aah unajua huwezi kuzuia watu kusema, na mimi huwa sihangaiki na watu wanasema nini, lakini ukitaka kumjua Halima unaweza ukamchunguza kirahisi sana, kwa kumuangalia

ASANTE KWA KUPATA HUDUMA ZETU,TUNAKUOMBA BOFYA LIKE KUUNGANA NASI FACEBOOK

Ofaa....Ofaaaaa......TENGENEZEWA BLOG KAMA HII www.thechoicetz.com KWA TSH.30,OOO TUU. Kwa MAWASILIANO. call 0714 804739

Ofaa....Ofaaaaa......TENGENEZEWA BLOG KAMA HII www.thechoicetz.com KWA TSH.30,OOO TUU. Kwa MAWASILIANO. call 0714 804739

ASANTE KWA KUPATA HUDUMA ZETU,TUNAKUOMBA BOFYA LIKE KUUNGANA NASI FACEBOOK

page counter

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Naomba Maoni yako hapa